Siasa
Tanzania na Angola kuimarisha ushirikiano katika biashara na uwekezaji
Serikali ya Tanzania imetangaza kuondoa masharti ya viza za utalii kwa raia wa Angola wanaotaka kutembelea nchi hiyo, hatua inayolenga kurahisisha safari, ...Waziri wa Mawasiliano Afrika Kusini ashutumiwa kwa kujaribu kubadilisha sheria ya umiliki kwa kampuni ya ...
Mwanasiasa mwandamizi wa Afrika Kusini amemtuhumu Waziri wa Mawasiliano, Solly Malatsi, kwa kujaribu kulegeza sheria za umiliki wa ndani za nchi hiyo ...Marekani yatangaza kuzuia visa kwa raia wa Sudan Kusini
Marekani imetangaza kufuta visa zote za watu wenye pasipoti ya Sudan Kusini baada ya nchi hiyo kushindwa kuwapokea raia wake waliorejeshwa kutoka ...Dkt. Mwinyi amhakikishia Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza uchaguzi wa amani na utulivu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amemshukuru Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza ambaye pia ni Muanzilishi ...Ruto: Nikishindwa uchaguzi nitakwenda nyumbani kulima
Rais William Ruto amesema yuko tayari kukabiliana na wapinzani wake kwenye uchaguzi wa mwaka 2027. Akizungumza wakati wa ziara yake katika Kaunti ...Rais wa Korea Kusini aondolewa rasmi madarakani
Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imethibitisha kuondolewa madarakani kwa Rais Yoon Suk Yeol, ambaye alipigiwa kura ya kuondolewa na wabunge mwezi ...