Siasa
Rais wa Liberia awasimamisha kazi maafisa 450 wa serikali kwa kutotangaza mali zao
Rais wa Liberia, Joseph Boakai amewasimamisha kazi zaidi ya maafisa 450 wa serikali akiwemo waziri anayesimamia bajeti pamoja na mabalozi, kwa kushindwa ...DRC yaifungulia kesi Rwanda Mahakama ya Haki za Binadamu, kesi kusikilizwa leo
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yenye ...Haya ndio maazimio ya Wakuu wa Nchi wa EAC na SADC kuhusu mzozo DRC
Katika jitihada za kurejesha amani na utulivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ...Wakuu wa Nchi EAC na SADC wasisitiza mazungumzo kurejesha amani DRC
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kujitolea kusaidia juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kumaliza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ...Rais wa Colombia apendekeza kokeini ihalalishwe duniani kote
Rais wa Colombia, Gustavo Petro, amesema biashara ya kokeini inaweza kudhibitiwa kwa urahisi ikiwa dawa hiyo itahalalishwa duniani kote, kwakuwa dawa hiyo ...Rais Trump asaini amri inayoiwekea vikwazo mahakama ya Uhalifu (ICC)
Rais wa Marekani, Donald Trump ametia saini amri inayoiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), akiituhumu kwa vitendo vinavyokiuka sheria na ...