Siasa
Burkina Faso yafuta vyama vyote vya siasa
Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetoa amri ya kufuta vyama vyote vya siasa, ambapo tayari vilikuwa vimesitisha shughuli zake tangu mapinduzi ...Viongozi wa CHADEMA wakamatwa kwa mkusanyiko usio halali
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya, Masaga Pius Kaloli mkazi wa Wilaya ya Chunya na Mwenyekiti ...CCM: Hatuhusiki na CHADEMA kuzuiwa kufanya shughuli zake
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakihusiki kwa namna yoyote na kufungiwa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kufanya shughuli zake. Taarifa ...Museveni aongoza kwa asilimia 76 katika matokeo ya awali
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu yaliyotangazwa leo na tume ya uchaguzi akiwa na asilimia ...Rais Samia ayataka mataifa ya nje kuheshimu uhuru wa Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mataifa ya nje ambayo hayashiriki katika maono ya Tanzania yanapaswa angalau kuheshimu uhuru wa taifa, akisisitiza kuwa ...Museveni: Nitashinda kwa asilimia 80 kama hakutakuwa na udanganyifu
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema anatarajia kushinda kwa asilimia 80 endapo hakutakuwa na udanganyifu wowote katika uchaguzi mkuu unaofanyika leo nchini ...








