Siasa
Wasifu wa marehemu Cleopa David Msuya, Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania
Rais Samia Suluhu ametangaza kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, David Msuya kilichotokea leo ...Viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA watangaza kujiondoa CHADEMA
Baadhi ya viongozi wa zamani wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa wakiongozwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Benson Kigaila wametangaza kuachana na chama ...Mrema: Nitaendelea kutimiza majukumu yangu kama mwanachama wa CHADEMA
Baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu aliyekuwa Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Demokrasia ...Rais: Uanzishwaji wa Benki ya Ushirika Tanzania ni utekelezaji wa wazo la muda mrefu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema uanzishwaji wa Benki ya Ushirika Tanzania ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi na ...Dkt. Mwinyi: Serikali ya Zanzibar itahakikisha Muungano unaendelea kuimarika
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kutoa ushirikiano ...DRC, M23 zakubaliana, kutafuta, amani,
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na waasi wa M23 wameahidi kutafuta amani kufuatia majadiliano ya zaidi ya wiki moja ...