Siasa
Sababu za aliyekuwa waziri nchini Gambia kuhukumiwa miaka 20 jela
Mahakama Kuu ya Uswizi Mei 15, 2024 imemhukumu Ousman Sonko (55), Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani wa Gambia, kifungo cha ...Serikali kuongeza fursa za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema Serikali itaongeza fursa za mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka ...Mahakama yaamuru Selasini kumlipa Mbatia milioni 80 kwa kumdhalilisha
Aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia ameshinda kesi dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Joseph Selasini ambaye alimfungulia mashtaka ya ...Lissu: CHADEMA kuna mtafaruku na fedha chafu
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema kuna fedha nyingi ndani ya chama hicho ambazo hazijulikani zinatoka ...Tundu Lissu apingwa kwa madai ya kauli yake ya kibaguzi
Baada ya kauli iliyotafsiriwa kuwa ya kibaguzi iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu kukosoa uongozi ...Tanzania kuunga mkono hatua za kurejesha amani Somalia
Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika mazungumzo yake na Rais wa Shirikisho la Jamhuri ya Somalia, Dkt. Hassan Sheikh Mohamud, amewahakikishia Tanzania ...