Siasa
Serikali: Wananchi milioni 26.7 wamejiandikisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema jumla ya wapiga kura 26,769,995 wamejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za ...Polisi: Tunafuatilia mazingira ya kupotea kwa kiongozi wa CHADEMA
Jeshi la Polisi limesema linafuatilia taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya kupotea kwa kiongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ...Waziri aagiza polisi kuwakamata viongozi wanaosimamia ujenzi wa kituo cha afya Geita
Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameagiza Jeshi la Polisi kuwakamata viongozi wa vijiji na Kata waliokuwa wakisimamia mradi wa ujenzi wa kituo ...Dkt. Mpango aagiza kasi ya usambazaji maji ili kutatua kero za maji
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ameitaka Wizara ya Maji kuendelea na kasi ya usambazaji maji kutoka Ziwa Victoria ili kutatua adha ...Mfahamu Naibu Rais Gachagua na kwanini Wakenya wanataka kumuondoa madarakani
Mwanasiasa aliyepitia kwenye taasisi ya mafunzo ya Upolisi mwaka 1990 baada ya kuhitimu Shahada ya Sanaa ya Sayansi ya Siasa na Fasihi ...Waziri Mkuu aagiza watumishi Kigamboni wafikishwe mahakamani kwa ubadhirifu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameelekeza kufikishwa mahakamani mara moja kwa maafisa wanne wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na watumishi wanne wa ...