Siasa
Rais Samia ampongeza Odinga kwa kudumisha mahusiano mazuri na viongozi wa Afrika
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inamuunga mkono Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya, Raila Odinga ambaye anawania nafasi ya Mwenyekiti wa Kamisheni ...Rais Mwinyi: China imeisaidia sana Zanzibar kimaendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema China imekuwa ikiisaidia Zanzibar katika mambo mbalimbali ya ...Rais Samia asisitiza JWTZ kuendelea kuwa Jeshi la mfano Afrika
Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuendelea ...Kituo cha Haki za Binadamu chataka viongozi wa CHADEMA waachiliwe bila masharti
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeitaka Jeshi la Polisi kuwaachilia huru bila masharti yoyote viongozi wa Chama cha Demokrasia ...Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, Katibu Mkuu, John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph ...Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano ya vijana yaliyopangwa na CHADEMA
Jeshi la Polisi limepiga marufuku maandamano na mikusanyiko ya aina yoyote yaliyopangwa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani ...