Siasa
Mnada wa kuuza vitu vya Mandela nchini Marekani umesitishwa
Mnada wa kuuza vitu binafsi takribani 70 vya Hayati Nelson Mandela ikiwa ni pamoja na vifaa vyake vya kusikia, fimbo na miwani ...Malawi: Wawili wakamatwa kwa kuiba zulia la Rais na hema
Polisi nchini Malawi wanawashikilia wanaume wawili kwa tuhuma za kuiba zulia jekundu la Rais Dkt. Lazarus Chakwera kutoka kwenye gari la Wizara ...Maandamano ya CHADEMA yamezuia jeshi kushiriki usafi
Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuonekana akishiriki zoezi la usafi bila vyombo vya ulinzi na usalama ...Polisi waruhusu maandamano ya CHADEMA
Jeshi la Polisi limeruhusu kufanyika maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kesho Januari 24, 2024, huku likieleza kuwa maandamano hayo ...Viongozi wakuu China, Poland na Cuba kutembelea Tanzania
Rais Samia Suluhu anatarajia kupokea ugeni mkubwa wa viongozi kutoka nchi tatu kwa mwezi Januari na Februari mwaka huu lengo likiwa ni ...Rais Samia aalikwa Vatican na Papa Francis
Rais Samia Suluhu anatarajiwa kufanya ziara ya kitaifa Vatican nchini Italia kuanzia Februari 11 hadi 12 mwaka huu kufuatia mwaliko wa Kiongozi ...