Siasa
Odinga: Nilishinda karibu mara zote nilipogombea urais
Kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, amedai kuwa ameshinda karibu chaguzi zote za urais alizogombea, lakini hakuwahi kutangazwa rasmi kuwa mshindi ...Putin atoa wito wanajeshi wa Ukraine wajiuzulu akiwaahidi kuwapa huduma bora
Rais wa Urusi, Vladmir Putin ametoa wito kwa wanajeshi wa Ukraine walioko katika eneo la Kursk la Urusi kujisalimisha, huku mazungumzo ya ...Marekani yamfukuza Balozi wa Afrika Kusini
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, ametangaza kuwa Balozi wa Afrika Kusini nchini Marekani, Ebrahim Rasool, hatakiwi tena nchini ...Putin akubali kusitisha mapigano nchini Ukraine kwa masharti
Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema anakubaliana na pendekezo la Marekani la kusitisha mapigano nchini Ukraine kwa siku 30, lakini akisisitiza umuhimu ...ACT Wazalendo waitaka Serikali imhoji Balozi kilichotokea Angola
Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kufafanua kilichotokea nchini Angola na kutia msimamo ...Ruto: Nitafanya kila niwezalo Odinga apewe heshima yake
Rais wa Kenya, William Ruto ameahidi kufanya kila awezalo kuhakikisha kuwa Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga anaheshimiwa ndani na nje ya ...