Siasa
Kapteni Ibrahim Traoré akoswa kupinduliwa
Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imetangaza kuwa imefanikiwa kuzuia jaribio kubwa la mapinduzi dhidi ya kiongozi wake, Kapteni Ibrahim Traoré. Waziri ...Serikali: Bilioni 47 zimelipa watumishi 15,288 wa vyeti feki
Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora imesema kuwa watumishi wapato 15,288 walioondolewa katika utumishi wa umma kwa ...Rais wa zamani wa Peru pamoja na mke wake wahukumiwa miaka 15 jela
Mahakama nchini Peru imemhukumu Rais wa zamani Ollanta Humala na mkewe, Nadine Heredia, kifungo cha miaka 15 jela kwa makosa ya kutakatisha ...Gachagua adai wanataka kumuua pamoja na familia yake
Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ameibua madai mazito ya njama za kutaka kumuua pamoja na kuwadhuru wanafamilia wake, akimtuhumu Inspekta ...Mapinduzi ya Kijeshi Afrika: Kwanini Majenerali huishia Ikulu?
Katika miaka ya hivi karibuni, Afrika imeshuhudia wimbi la mapinduzi ya kijeshi likivuma kutoka Afrika Magharibi hadi Kati. Hata hivyo, jambo la ...CHADEMA yaeleza sababu za kutosaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema maamuzi ya kutosaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi mwaka 2025 ni kutokana na kutokuwepo kwa ...