Siasa
Korea yaipa Tanzania mkopo wa bilioni 427 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali Zanzibar
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Dola za Marekani milioni 163.6 [TZS bilioni ...Mchungaji Msigwa adai Sugu hakushinda kihalali, akata rufaa
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ambaye ameshindwa kwenye uchaguzi uliompa ushindi Joseph ...Marais wa Afrika waliohukumiwa kifungo gerezani
Barani Afrika, historia ya kisiasa imejawa na matukio ya viongozi wakuu kukabiliana na sheria kutokana na vitendo vya kiuhalifu, ukiukaji wa haki ...Marekani yamwekea vikwazo Spika wa Bunge la Uganda na mumewe
Marekani imewawekea vikwazo maafisa watano wa Uganda, akiwemo Spika wa Bunge la nchi hiyo, Anita Among, mumewe na Naibu Mkuu wa zamani ...Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara katika Jamhuri ya Korea kuanzia Mei 30 hadi Juni 6, mwaka huu kwa mwaliko wa ...Bashungwa: Taharuki iliyotengenezwa ya vivuko Kigamboni ni kwa maslahi binafsi
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amewatoa hofu wakazi wa Dar es salaam wanaotumia usafiri wa vivuko eneo la Kigamboni -Magogoni juu ya ...