Siasa
Mange Kimambi ashtakiwa kwa kutakatisha fedha, adai Serikali inapanga kumrejesha nchini
Mwanaharakati Mange Kimambi anayeishi nchini Marekani amefunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi nchini Tanzania, akidaiwa kutakatisha TZS milioni 138.5. Kwa mujibu wa hati ...Rais Samia: Vurugu zilitengenezwa ili kuangusha Dola
Rais Samia Suluhu Hassan amesema matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 yalikuwa ni ...Mahakama kuamua usikilizwaji wa shauri kuhusu kufutwa sherehe za Uhuru
Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma, leo inatarajiwa kutoa uamuzi mdogo kuhusu usikilizwaji wa shauri la Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa ...Mambo sita yanayochunguzwa na Tume Huru ya Uchunguzi wa Vurugu za Oktoba 29
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchunguzi wa Vurugu za Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohammed Chande amesema tume hiyo imepewa jukumu ...Waziri atoa siku nne huduma ya Mwendokasi irejee kote
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe ametoa muda siku nne huduma ya mabasi ya mwendokasi irejee ...Polisi: Winfrida hajatekwa, tunamshikilia
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limesema linamshikilia Winfrida Malembeka, na kwamba hajatekwa kama inavyodaiwa. Winfrida anashikiliwa kwa tuhuma za kuchapisha ...








