Siasa
Rais Samia: Tumeboresha sera na sheria kukuza biashara na uwekezaji nchini
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imefanya maboresha mengi ya kisera, kisheria na kanuni ili kuhakikisha mazingira ya uwekezaji na biashara nchini ...CHADEMA: Hatujasema hatutashiriki uchaguzi 2025
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema katika uchaguzi wa mwaka 2025 si kwamba hawatoshiriki uchaguzi bali uchaguzi huo hautafanyika ikiwa tume ...Bashungwa: Rais Dkt. Samia yupo ‘serious’ na ujenzi wa barabara
Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa amesema ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini unafanyika kwa umakini na viwango vya ubora chini ya ...Rais Kagame atangaza kugombea urais kwa muhula wa nne
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania urais kwa muhula wa nne katika uchaguzi wa mwaka 2024 kutokana na wananchi kuwa na ...Tanzania yatajwa kuwa nchi yenye mafanikio ya demokrasia na utawala bora
Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi barani Afrika ambazo zimepata mafanikio makubwa katika kuimarisha demokrasia na dhana ya utawala bora katika kuwatumikia ...Watumishi saba Liwale kuadhibiwa kwa kutotimiza wajibu wao
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Miko na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amemuelekeza Katibu Mkuu kuwachukulia hatua za ...