Siasa
Mchengerwa amsimamisha kazi Mkurugenzi Halmashauri ya Busega
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega mkoani Simiyu, Veronica Sayore ili kupisha uchunguzi wa malalamiko dhidi ...Dkt. Mpango: Tanzania tumefanikiwa kwenye malengo ya mendeleo endelevu
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania itaendelea kuchangia katika juhudi za kuleta na kudumisha amani barani Afrika na kwingineko duniani ...Rais Samia: Tumeboresha sera na sheria kukuza biashara na uwekezaji nchini
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imefanya maboresha mengi ya kisera, kisheria na kanuni ili kuhakikisha mazingira ya uwekezaji na biashara nchini ...CHADEMA: Hatujasema hatutashiriki uchaguzi 2025
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema katika uchaguzi wa mwaka 2025 si kwamba hawatoshiriki uchaguzi bali uchaguzi huo hautafanyika ikiwa tume ...Bashungwa: Rais Dkt. Samia yupo ‘serious’ na ujenzi wa barabara
Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa amesema ujenzi wa miundombinu ya barabara nchini unafanyika kwa umakini na viwango vya ubora chini ya ...Rais Kagame atangaza kugombea urais kwa muhula wa nne
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema atawania urais kwa muhula wa nne katika uchaguzi wa mwaka 2024 kutokana na wananchi kuwa na ...