Siasa
Majaliwa amuagiza Naibu Waziri Mkuu kushughulikia upatikanaji wa mafuta
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Naibu Waziri Mkuu, Dotto Biteko kushughulikia suala la upatikanaji wa nishati ya mafuta nchini ili Watanzania wafikiwe ...Mkuu wa Wilaya ashitakiwa kwa kutusi na kuwaweka mahabusu watumishi
Mkuu wa Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, Dkt. Julius Ningu ameshitakiwa katika Baraza la Maadili kwa tuhuma za kutoa lugha za matusi, ...Cleopa Msuya: Tusijisahau tukaelekea kwenye matatizo ya kisiasa
Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya amesema toka Tanzania ipate uhuru wake mwaka 1961 imeendelea kupiga hatua kubwa katika kuzingatia demokrasia hasa katika ...Lissu kushtakiwa kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo
Kampuni ya Uwekezaji kwenye utalii na ranchi za wanyama, Mwiba Holdings Ltd imetishia kuwachukulia hatua kali za kisheria wanasiasa waliosambaza taarifa za ...Rais Samia: Kama mtu amevunja sheria ashughulikiwe haraka
Rais Samia Suluhu Hassana ametoa msisitizo kwa Jeshi la Polisi kuhakikisha kuwa wanachukua hatua za kisheria haraka iwezekanavyo kwa mtu au kikundi ...ACT Wazalendo yaunga mkono uwekezaji wa DP World, yatoa mapendekezo
Chama cha ACT Wazalendo kimesema kinaunga mkono uwekezaji kwenye bandari za Tanzania ili kuziwezesha kufanya kazi kwa ufanisi na kuwa na tija ...