Siasa
Marekani yatangaza kuzuia visa kwa raia wa Sudan Kusini
Marekani imetangaza kufuta visa zote za watu wenye pasipoti ya Sudan Kusini baada ya nchi hiyo kushindwa kuwapokea raia wake waliorejeshwa kutoka ...Dkt. Mwinyi amhakikishia Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza uchaguzi wa amani na utulivu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amemshukuru Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza ambaye pia ni Muanzilishi ...Ruto: Nikishindwa uchaguzi nitakwenda nyumbani kulima
Rais William Ruto amesema yuko tayari kukabiliana na wapinzani wake kwenye uchaguzi wa mwaka 2027. Akizungumza wakati wa ziara yake katika Kaunti ...Rais wa Korea Kusini aondolewa rasmi madarakani
Mahakama ya Katiba ya Korea Kusini imethibitisha kuondolewa madarakani kwa Rais Yoon Suk Yeol, ambaye alipigiwa kura ya kuondolewa na wabunge mwezi ...Sudan Kusini yakanusha kumwagiza Odinga kwa Museveni kabla ya kukutana na Dkt. Machar
Serikali ya Sudan Kusini imekanusha madai kwamba Rais Salva Kiir alimwelekeza Raila Odinga, kupata idhini ya Rais wa Uganda, Yoweri Museveni kabla ...Rais Trump akasirishwa na Putin kukosoa uongozi wa Zelenskyy
Rais Donald Trump amesema ana hasira sana na amechukizwa na Rais wa Urusi, Vladimir Putin kukosoa uhalali wa uongozi wa Rais Volodymyr ...