Siasa
Rais Samia aagiza mifumo ya TEHAMA serikalini isomane
Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari inayosimamia sera ya TEHAMA kwa kushirikiana na wizara nyingine ...Mgombea Urais Ecuador auawa kwa kupigwa risasi
Mgombea urais katika uchaguzi ujao nchini Ecuador, Fernando Villavicencio ambaye alifanya kampeni kwa kuweka wazi uhalifu na vitendo vya rushwa vinavyofanywa na ...Kubenea apewa siku 14 kuwaomba radhi Kikwete na Kinana
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana wametoa siku 14 kwa gazeti la MwanaHalisi na mhariri wake, ...Prof. Assad: Wengi wanaozungumzia bandari si wataalamu wa uwekezaji
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Assad amesema tatizo lililopo katika suala la ushirikiano wa Tanzania ...Dkt. Mpango: Wapangaji lipeni kodi kwa wakati kuepuka usumbufu
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wapangaji wanaotumia nyumba za Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuzingatia masharti ya mkataba ...Niger yakata uhusiano wa kidiplomasia na Nigeria, Ufaransa, Marekani na Togo
Serikali ya kijeshi nchini Niger imetangaza kusitisha uhusiano wa kidiplomasia na nchi nne ambazo ni Nigeria, Togo, Marekani na Ufaransa kutokana na ...