Siasa
Machinga, bodaboda wamwagia sifa uongozi wa Rais Samia
Shirikisho la vyama vya madereva wa pikipiki, bajaji na wamachinga wa Mkoa wa Dar es Salaam wameunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais ...Kinana: Wapinzani jengeni hoja na si kumkejeli Rais
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana amewashauri na kuwakumbusha wanasiasa wa upinzani kuheshimu fursa ya maridhiano ya kisiasa iliyotolewa ...Ruto atoa sharti kwa Odinga kabla ya mazungumzo
Rais wa Kenya, William Ruto amesema yuko tayari kufanya mazungumzo na kiongozi wa Azimio, Raila Odinga, na yuko tayari kutoa ustahimilivu katika ...Wanajeshi wa Niger wampindua Rais Bazoum
Rais wa Niger, Mohamed Bazoum amepinduliwa na wanajeshi saa chache baada ya kuwekwa kizuizini na walinzi wake katika Ikulu ya nchi hiyo. ...Kinana: Rais Samia hawezi kuuza bandari
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdurahman Kinana, amezungumzia mjadala wa uwekezaji katika Bandari ya Dar es Salaam huku ...Rais Samia asema Afrika haitoendelea isipowekeza zaidi kwenye rasilimali watu
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ni muhimu kwa viongozi wa Afrika kuhakikisha wanaangalia, wanatathmini na kusimamia mageuzi yote muhimu ili kuliwezesha bara ...