Siasa
Serikali yaweka wazi vigezo inavyozingatia kumpokea mwekezaji
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema kutokana na Tanzania kuwa na fursa mbalimbali za uwekezaji serikali inazingatia vigezo maalum ...Rais Samia kutengua DC na DED Mtwara kwa kutotimiza wajibu wao
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kutengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwa kushindwa ...Serikali yaja na mbinu za kuongeza akiba ya dola nchini
Kutokana na upungufu wa dola unaozikumba nchi mbalimbali hivi sasa, Serikali imesema imeanza kutekeleza sera ya fedha ya kununua dhahabu kupitia Benki ...Niger yamfukuza Balozi wa Ufaransa
Kikosi cha jeshi cha Niger kimeamuru Balozi wa Ufaransa kuondoka nchini humo ndani ya saa 48 baada ya kushindwa kuhudhuria mkutano uliokuwa ...BRICS yaongeza wanachama wapya sita zikiwemo Ethiopia na Misri
Baada ya nchi 20 kuwasilisha maombi ya kutaka uanachama, viongozi wa kundi la mataifa ya BRICS yaani Brazil, Urusi, India, China na ...Mbunge ashikiliwa kwa shambulizi dhidi ya waandishi wa habari Ngorongoro
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watu kadhaa akiwemo Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai kwa tuhuma za kuhusika na shambulizi ...