Siasa
Kubenea apewa siku 14 kuwaomba radhi Kikwete na Kinana
Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Abdulrahman Kinana wametoa siku 14 kwa gazeti la MwanaHalisi na mhariri wake, ...Prof. Assad: Wengi wanaozungumzia bandari si wataalamu wa uwekezaji
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Assad amesema tatizo lililopo katika suala la ushirikiano wa Tanzania ...Dkt. Mpango: Wapangaji lipeni kodi kwa wakati kuepuka usumbufu
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wapangaji wanaotumia nyumba za Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuzingatia masharti ya mkataba ...Niger yakata uhusiano wa kidiplomasia na Nigeria, Ufaransa, Marekani na Togo
Serikali ya kijeshi nchini Niger imetangaza kusitisha uhusiano wa kidiplomasia na nchi nne ambazo ni Nigeria, Togo, Marekani na Ufaransa kutokana na ...Machinga, bodaboda wamwagia sifa uongozi wa Rais Samia
Shirikisho la vyama vya madereva wa pikipiki, bajaji na wamachinga wa Mkoa wa Dar es Salaam wameunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais ...Kinana: Wapinzani jengeni hoja na si kumkejeli Rais
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahaman Kinana amewashauri na kuwakumbusha wanasiasa wa upinzani kuheshimu fursa ya maridhiano ya kisiasa iliyotolewa ...