Siasa
Raila Odinga asitisha maandamano ya Jumatano
Chama cha Azimio La Umoja One Kenya kimesimamisha maandamano yake dhidi ya serikali yaliyokuwa yamepangwa kufanyika nchi nzima siku ya Jumatano wiki ...Rais Samia kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Mnara wa Mashujaa
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Mnara wa Mashujaa unaojengwa katika Mji wa Serikali ...Ruto awaonya maafisa wa polisi juu ya mauaji ya raia
Rais wa Kenya, William Ruto amewaonya maafisa wa polisi dhidi ya mauaji ya kiholela ya waandamanaji wanaoipinga serikali, huku upande mwingine akisisitiza ...Zambia na Falme za Kiarabu zasaini makubaliano ya uchimbaji madini
Zambia imesaini makubaliano kadhaa ya ushirikiano na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika hafla iliyofanyika Ikulu ya nchi hiyo na kuhudhuriwa ...Dkt. Kikwete: Niliuona uwezo wa Rais Samia kiuongozi tangu 2001
Rais Mstaafu Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefichua sababu inayomfanya ajivunie Rais Samia Suluhu Hassan kama kiongozi wa Taifa la ...