Siasa
Canada: Uhusiano wa zamani na Marekani umekwisha
Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney amesema nchi hiyo italazimika kupunguza utegemezi wake kwa Marekani kwani uhusiano wao unazidi kuzorota. Akizungumza baada ...Rais Samia: Tutafanyia kazi Ripoti ya CAG, TAKUKURU
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali iko tayari kuendelea kufanyia kazi maoni na mapendekezo yaliyotolewa ndani ya taarifa ya Taasisi ya Kuzuia ...CAG: Deni la Taifa lafikia TZS trilioni 97.35
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles E. Kichere amesema kufikia Juni 30, 2024, deni la Serikali lilifikia shilingi ...Jenerali Tchiani aapishwa kuwa Rais wa Mpito wa Niger
Kiongozi wa Jeshi la Niger, Jenerali Abdourahamane Tchiani ameapishwa kuwa Rais wa Mpito wa nchi hiyo kwa kipindi cha miaka mitano Uamuzi ...Mwenezi BAWACHA Njombe adaiwa kushambuliwa na mlinzi wa CHADEMA
Mwenezi wa Baraza la Wanawake CHADEMA (BAWACHA) Taifa, Sigrada Mligo, mkazi wa Mji mwema mkoani Njombe ameripotiwa kujeruhiwa na mlinzi wa chama ...Rais Ndayishimiye: Rwanda inapanga kuishambulia Burundi
Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye amesema anayo taarifa za kiintelijensia zinazoonesha kuwa Rwanda inakusudia kushambulia nchi yake. Aidha, ametaja jaribio la mapinduzi ...