Siasa
Mnyika apewa siku mbili kujibu malalamiko ya uteuzi wa viongozi CHADEMA
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mwanga, Lembrus Mchome, amemuomba Katibu Mkuu wa chama hicho, John Mnyika kujibu ...Zaidi ya wanamgambo 70 wa Al- Shabaab wauawa Somalia
Serikali ya Somalia imesema zaidi ya wanamgambo 70 wa kundi la Al-Shabaab wameuawa nchini humo katika operesheni ya jeshi kwa ushirikiano na ...Rais: Nitaendelea kuilea Tanzania kwa kuharakisha huduma za kijamii
Rais Samia Suluhu Hassan amewaahidi watanzania kuwa ataendelea kuwajibika kwao kwa kuilea Tanzania na kuharakisha huduma zote muhimu za kijamii kama sehemu ...Rais Tshisekedi kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Félix Tshisekedi ametangaza mpango wa kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa na kufanya mabadiliko ...Rais Trump adai Rais wa Ukraine ni dikteta
Rais wa Marekani, Donald Trump amemuita Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky dikteta na kumuonya kuwa lazima achukue hatua haraka ili kupata amani, ...DRC yaiomba Chad msaada wa kijeshi kupambana na M23
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeomba msaada wa kijeshi kutoka Chad ili kupambana na waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na ...