Siasa
Dkt. Mwigulu: Hakuna haja ya kuhofia tozo ya TZS 100 kwenye mafuta
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchema amewatoa hofu wananchi kuhusu tozo ya shilingi 100 kwenye kila lita 1 ya mafuta ...Rais Samia: Maboresho yanayoendelea bandarini yatazuia dawa za kulevya
Rais Samia Suluhu Hassan amesema maboresho yanayoendelea kufanyika katika bandari za nchini yatajumuisha ufungaji wa mitambo ya kisasa itakayosaidia kubaini shehena zinazopitishwa ...Rais Samia: Serikali yangu si ya maneno ni vitendo
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya Awamu ya Sita inataka kuona vijana wa Kitanzania wakijenga uchumi imara pamoja na kujenga ustawi ...Esther Matiko: Rais Samia ameendeleza miradi ya kimkakati kwa ufanisi mkubwa
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko amesema Rais Samia Suluhu ameweza kuendeleza kwa ufanisi mkubwa miradi ya kimkakati aliyoiacha Rais wa Awamu ...Waziri Mkuu apokea ripoti ya kamati kuhusu changamoto za wafanyabiashara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kupitia, kuchambua na kutoa mapendekezo ya kutatua changamoto za ...Rais Samia awapa Machinga kiwanja na milioni 10 kujenga ofisi
Shirikisho la Umoja wa Machinga wilayani Kahama mkoani Shinyanga limekabidhiwa kiwanja chenye hatimiliki pamoja na TZS milioni 10 ambazo zimetolewa na Rais ...