Siasa
Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Rogatus Hussein Mativila kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – TAMISEMI (Miundombinu). Mhandisi Mativila alikuwa ...Sakata la kelele, Waziri Mkuu atoa maagizo kwa wakuu wa mikoa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewataka wakuu wa mikoa nchini kukaa na mabaraza ya biashara na wamiliki wa kumbi za starehe katika mikoa ...Mjema: Rais Samia aachwe afanye kazi alete maendeleo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) Itikadi na Uenezi, Sophia Mjema amewataka vijana kukilinda chama hicho pamoja na mwenyekiti wake, ...CAG Zanzibar aliomba radhi Baraza la Wawakilishi kwa kutoa kauli ya ‘kulibeza’
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Zanzibar, Dkt. Othman Ali ameliomba radhi Baraza la Wawakilishi Zanzibar kufuatia kauli yake aliyoitoa ...Balozi aliyewafananisha Waafrika na nyani arudishwa kwao
Romania imemrudisha nyumbani balozi wake kutoka nchini Kenya, Dragos Tigau na kuomba msamaha baada kuwalinganisha Waafrika na nyani. Balozi huyo alitoa maneno ...Rais Samia atengua uteuzi viongozi wa juu ofisi ya Kabidhi Wasii Mkuu
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua, Frank Kanyusi Frank kuwa Kabidhi Wasii Mkuu akichukua nafasi ya Angela Anatory ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Kabla ...