Siasa
Nape: Dkt. Slaa na wenzake wamekamtwa kwa tuhuma za uhaini, si vinginevyo
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema hakuna mtu yeyote nchini ambaye amekamatwa au atakamatwa kwa kutoa maoni ...Rais Samia: Mabalozi fanyeni kazi kwa matokeo, msisubiri matukio
Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza mabalozi kufanya kazi kwa kujituma katika vituo vyao vya kazi walivyopangiwa pasipo kusubiri matukio maalum ili kulinufaisha ...ACT yataka Dkt. Slaa na wenzake wapelekwa mahakamani au waachiwe huru
Chama cha ACT Wazalendo kimelitaka Jeshi la Polisi kuwaachia huru bila masharti yoyote au kuwapeleka mahakamani Wakili Boniphace Mabukusu, Mpaluka Nyagali na ...Rais aliyepinduliwa Niger kushitakiwa kwa uhaini
Jeshi la Niger limesema litamfungulia mashitaka ya uhaini Rais Mohamed Bazoum (63), aliyeondolewa madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi. Hatua hiyo inakuja saa ...Polisi wathibitisha kuwashikilia Mwabukusi na Mdude, msako unaendelea
Baada ya taarifa iliyotolewa Agosti 11, 2023 na Jeshi la Polisi likiwaonya wanaofanya uchochezi kwa lengo la kuiangusha Serikali, Jeshi limetangaza kuwakamata ...Wafahamu Marais wa Afrika waliopinduliwa na Jeshi wakiwa madarakani
Mapinduzi ya kijeshi hutokea pale ambapo jeshi au kikundi cha kijeshi kinapochukua udhibiti wa serikali kwa nguvu na kumpindua Rais au kiongozi ...