Siasa
Waziri Mkuu apokea ripoti ya kamati kuhusu changamoto za wafanyabiashara
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amepokea taarifa ya Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kupitia, kuchambua na kutoa mapendekezo ya kutatua changamoto za ...Rais Samia awapa Machinga kiwanja na milioni 10 kujenga ofisi
Shirikisho la Umoja wa Machinga wilayani Kahama mkoani Shinyanga limekabidhiwa kiwanja chenye hatimiliki pamoja na TZS milioni 10 ambazo zimetolewa na Rais ...Waziri Mkuu: Hatutadharau maoni ya wananchi kuhusu bandari
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali haitodharau maoni na ushauri wanaoutoa kuhusu maeneo yenye hofu kwenye mradi wa uwekezaji wa ...RC Chalamila: Wanaopanga kuandamana waache mara moja
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amewataka baadhi ya wananchi wanaopanga kuandamana wakidai kupinga ubia wa uendelezaji na uboreshaji ...Balozi Karume: Niko tayari kupokea uamuzi wowote utakaotolewa dhidi yangu
Mtoto wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar na kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Ali Abeid Karume amehojiwa na Kamati ...Rais Samia: Mashirika yanayoitia Serikali hasara tutayafuta
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inafanya tathmini ya utendaji wa mashirika yote ya umma na yale ambayo Serikali ina hisa kubwa, ...