Siasa
Rais Samia aahidi kufanyia kazi ununuzi wa ndege nyingine ya mizigo
Rais Samia Suluhu ameahidi kufanyia kazi ombi lililotolewa na Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), kuongeza ndege moja kubwa ya mizigo ikiwa ni ...Rais Samia awafuta machozi wananchi wa Ukerewe
Wizara ya Afya imesema baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuona changamoto wanayopitia wananchi wa Ukerewe ya kukosa huduma bora za afya ...Sumaye: Kulikuwa na mhemko kubadili vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu
Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye amesema uamuzi wa kubadili vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu umechangia vijana wengi wasomi nchini kukosa ajira. ...Serikali yakanusha taarifa ya ndege ya Tanzania kusafirisha mizigo haramu
Serikali imekanusha taarifa zilizosambazwa kupitia mtandao wa Myflyright.com kuhusu ndege ya Tanzania ya mizigo aina ya Boeing 767-300F kudaiwa kusafirisha mizigo kwa ...Aliyekuwa DC Tabora Mjini kufungua shauri kupinga uamuzi wa Rais Samia kumstaafisha
Mahakama Kuu Masijala Kuu imemruhusu aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mjini, Komanya Kitwala kufungua shauri la mapitio ya mahakama kupinga uamuzi ...UVIKO-19 na vita ya Ukraine vyakwamisha majaribio ya SGR Dar-Morogoro
Serikali imesema kazi ya utengenezaji wa vichwa vya treni ya reli ya kisasa (SGR) haukukamilika kwa wakati kutokana na watengenezaji kupata changamoto ...