Siasa
Museveni akataa kusaini muswada wa mapenzi ya jinsia moja, aurudisha bungeni
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini muswada wa sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja unaotoa adhabu ya kifo katika ...Yemen: Watu 78 wafariki wakipatiwa msaada wa Ramadhan
Takriban watu 78 wamefariki katika mkanyagano uliotokea katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a wakati wa ugawaji wa chakula cha msaada kwa ajili ...Serikali yasajili miradi ya trilioni 17, yaweka rekodi ya ajira
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha mwaka 2021 hadi Januari, 2023 Serikali imesajili jumla ya miradi ya uwekezaji 537 yenye ...Bilioni 8 zatengwa kusomesha madaktari bingwa 400
Serikali imetenga zaidi ya TZS bilioni 8 kwa ajili ya utekelezaji wa mpango wa “Samia Suluhu Super Specialists Programe” itakayosomesha madaktari bingwa ...Mkurugenzi aliyedaiwa kuuza viwanja kwa bilioni 1 ‘atumbuliwa’
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Sekiete Yahaya Selemani kuanzia Aprili 16,2023. Taarifa iliyotolewa ...Sudan: Wanafunzi wa Chuo Kikuu wakwama kwenye majengo, mmoja apigwa risasi
Ikiwa ni siku ya nne kufuatia mapigano makali nchini Sudan, wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Khartoum wamenaswa ndani ya majengo ya chuo ...