Siasa
Rais Samia: Kifo cha Membe kimeacha pengo kitaifa na kimataifa
Ris Samia Suluhu Hassan amesema kifo cha Bernard Membe kimeacha pengo kubwa si kwa taifa pekee bali hata katika mataifa aliyowahi kuyafanyia ...Rais Samia: Mradi wa huduma za mawasiliano vijijini utasaidia kukuza pato la taifa
Rais Samia Suluhu amesema kukamilika kwa mradi wa kufikisha huduma za mawasiliano ya simu vijijini kutasaidia kukuza pato la taifa kutokana na ...Rais Samia afanya uteuzi Shirika la Petroli TPDC
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mussa Makame kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ...Waliopigwa na askari wa TANAPA wapewa milioni 5
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa ametoa mkono wa pole wa shilingi milioni moja kwa kila mmoja kwa wananchi watano wa ...Msigwa: Rais Samia amechangia pakubwa kukamilika kwa Ikulu Chamwino
Serikali imesema inajivunia mchango wa Rais Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa Ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma ambao utaandika historia nyingine ...Waziri Mkuu: Tunazungumza na Denmark wasifunge ubalozi wao nchini
Serikali imesema kupitia Wizara ya Nje na viongozi wakuu, inafanya mazungumzo na nchi ya Denmark ili ofisi zao ziendelee kubaki nchini Tanzania ...