Siasa
Waziri Mkuu asema CCM iko tayari kwa uchaguzi wa 2025
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewahimiza ...Tanzania yashinda nafasi mbili Umoja wa Afrika
Tanzania imeshinda nafasi mbili zilizokuwa zikigombewa katika uchaguzi wa Taasisi za Umoja wa Afrika ambazo ni nafasi ya Mjumbe wa Tume ya ...Rais wa Liberia awasimamisha kazi maafisa 450 wa serikali kwa kutotangaza mali zao
Rais wa Liberia, Joseph Boakai amewasimamisha kazi zaidi ya maafisa 450 wa serikali akiwemo waziri anayesimamia bajeti pamoja na mabalozi, kwa kushindwa ...DRC yaifungulia kesi Rwanda Mahakama ya Haki za Binadamu, kesi kusikilizwa leo
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imefungua kesi dhidi ya Rwanda katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yenye ...Haya ndio maazimio ya Wakuu wa Nchi wa EAC na SADC kuhusu mzozo DRC
Katika jitihada za kurejesha amani na utulivu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ...Wakuu wa Nchi EAC na SADC wasisitiza mazungumzo kurejesha amani DRC
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kujitolea kusaidia juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kumaliza mgogoro mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ...