Siasa
Serikali: Mikopo ya bilioni 82 imetolewa kwa wanawake, vijana na walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema katika mwaka wa Fedha 2024/25, ...Jeshi la Sudan linakaribia kudhibiti Ikulu
Televisheni ya taifa ya Sudan imeripoti kuwa Jeshi la Sudan liko karibu kuchukua udhibiti wa Ikulu ya Rais mjini Khartoum kutoka kwa ...Rais Tinubu atangaza hali ya dharura Jimbo la Rivers, amsimamisha Gavana
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu ametangaza hali ya dharura katika Jimbo la Rivers, linalozalisha mafuta, na kumsimamisha Gavana wa jimbo hilo, Siminalayi ...Rais Samia awataka watumishi wa Sekta ya Ardhi kubadilika na kuachana na vitendo vya rushwa
Rais Suluhu Hassan amewataka watumishi wa Sekta ya Ardhi nchini kubadilika na kuachana na vitendo vya rushwa pamoja na maamuzi yasiyo ya ...Trump asitisha ufadhili kwa shirika la habari la VOA
Rais wa Marekani, Donald Trump amesaini agizo la kusitisha ufadhili wa Voice of America (VOA), shirika la habari ambalo linapata fedha kutoka ...Odinga: Nilishinda karibu mara zote nilipogombea urais
Kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, amedai kuwa ameshinda karibu chaguzi zote za urais alizogombea, lakini hakuwahi kutangazwa rasmi kuwa mshindi ...