Siasa
Jeshi la Polisi lamshikilia Mbowe kwa tuhuma za kukiuka taratibu za kampeni
Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwa tuhuma za kukiuka utaratibu wa ...Wakuu wa nchi na Serikali wanawake waliowahi kushiriki mkutano wa G20
G20 ni kifupi cha ‘Group of Twenty,’ kundi la kimataifa linalojumuisha mataifa 19 yaliyo na uchumi mkubwa zaidi duniani pamoja na Umoja ...Ushiriki wa Rais Samia kwenye mkutano wa G20 utakavyoleta tija kwa Tanzania
Rais Samia Suluhu anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Brazil ambapo atashiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama ...CHADEMA: Hatujawahi kujadili kuhusu serikali ya nusu mkate
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema hakijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ...ACT Wazalendo wamtaka Waziri Mchengerwa kuwarejesha wagombea wao waliokatwa
Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa kuwarejesha ...TAMISEMI: Wagombea ambao hawajaridhishwa na uteuzi waweke pingamizi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi ...