Siasa
Rais Kagame kufanya ziara nchini Aprili 27 na 28
Rais wa Rwanda, Paul Kagame anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini kuanzia Aprili 27 hadi 28, mwaka huu ambapo atakutana na kufanya ...Sudan: Vikosi vyakubaliana kusitisha mapigano kwa siku tatu
Makubaliano ya kusitisha vita kwa saa 72 yaliyosimamiwa na Marekani kati ya majenerali wanaopigana nchini Sudan yameanza rasmi Jumanne baada ya mapigano ...Wanadiplomasia na raia wa kigeni waendelea kuikimbia Sudan
Orodha ya nchi zinazowaondoa raia wake na wanadiplomasia kutoka nchini Sudan inazidi kuongezeka huku mapigano makali yakiendelea kushika kasi katika mji mkuu ...Rais Samia: Wazazi tusikwepe kulea watoto katika maadili
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wazazi kuwajibika katika malezi ya watoto wao kwa kufuata maadili mema ili kuokoa kizazi kilichopo ...Mtoto aliyesaidiwa matibabu ya ngozi na Rais Samia atoka hospitali
Mtoto Aminu Baranyikwa (15) aliyesaidiwa matibabu ya ngozi na Rais Samia Suluhu Hassan wakati akiwa ziarani mkoani Kagera ameruhusiwa kutoka hospitalini na ...Museveni akataa kusaini muswada wa mapenzi ya jinsia moja, aurudisha bungeni
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amekataa kutia saini muswada wa sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja unaotoa adhabu ya kifo katika ...