Siasa
Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca, suala la watoto laamuliwa
Ndoa ya wanasiasa machachari, David Kafulila na Jesca Kishoa imevunjwa rasmi na Kituo Jumuishi Huduma za Kimahakama, Mirithi na Ndoa baada ya ...Rais Samia: Sifurahii kubadili viongozi, inachukua muda kuwajenga
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hulazimika kuwabadili viongozi mara kwa mara ili kuepusha madhara zaidi kwa Serikali na wananchi ambayo yangeweza kutokea. ...Dkt. Slaa: CHADEMA imekomaa kushika nchi
Kwa takribani miaka nane baada ya kuondoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na baadaye Balozi ...Vijana wanufaika na programu ya Rais Samia katika mifugo
Naibu Waziri wa Uvuvi na Mifugo, Abdallah Ulega amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kuboresha ...Wanachama 374 wajiondoa CUF, wamtupia lawama Lipumba
Wanachama 374 wa Chama cha Wananchi (CUF) wamejivua uanachama wa chama hicho wakidai Mwenyekiti Profesa Ibrahim Lipumba anakwenda kinyume na katiba ya ...Rais Samia: Ondoeni watumishi wanaobabaisha
Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu wanaotengeneza fitina ndani ya Serikali kwa sababu watu wao wamekosa tenda mbalimbali za Serikali wanakwamisha miradi ...