Siasa
Rais Samia afanya uteuzi Shirika la Petroli TPDC
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Mussa Makame kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ...Waliopigwa na askari wa TANAPA wapewa milioni 5
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa ametoa mkono wa pole wa shilingi milioni moja kwa kila mmoja kwa wananchi watano wa ...Msigwa: Rais Samia amechangia pakubwa kukamilika kwa Ikulu Chamwino
Serikali imesema inajivunia mchango wa Rais Samia Suluhu Hassan katika ujenzi wa Ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma ambao utaandika historia nyingine ...Waziri Mkuu: Tunazungumza na Denmark wasifunge ubalozi wao nchini
Serikali imesema kupitia Wizara ya Nje na viongozi wakuu, inafanya mazungumzo na nchi ya Denmark ili ofisi zao ziendelee kubaki nchini Tanzania ...Aweso: Rais Samia ameimarisha kwa kasi huduma ya maji mijini na vijijini
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais Samia Suluhu, hali ya upatikanaji wa huduma ...Trump akutwa na hatia ya unyanyasaji wa kingono
Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump amepatikana na hatia ya unyanyasaji wa kingono kwa mwandishi wa jarida, E. Jean Carroll katika duka ...