Siasa
Ndugai: Tusihoji tu wajibu wa Serikali, wananchi pia tutekeleze wajibu wetu
Spika wa Bunge Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai ametoa wito kwa kila mwananchi kutekeleza wajibu wake katika kukuza maendeleo ya ...Upinzani Afrika Kusini kuishitaki Serikali kutokana na kukatika umeme
Vitisho vya kuishtaki serikali kutokana na kukatika kwa umeme nchini Afrika Kusini vimetolewa na makundi ya upinzani, chama cha wafanyakazi na wamiliki ...Rais Ramaphosa asitisha safari ya Uswisi kutokana na mgao wa umeme
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amebatilisha mipango ya kuhudhuria Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) linakaofanyika huko Davos nchini Uswisi kwa sababu ...Rais Samia: Tanzania iko tayari kutoa michango zaidi katika ulinzi wa amani duniani
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imechangia askari 1,489 katika misheni 16 za ulinzi wa amani duniani na kwamba iko tayari kutoa ...FBI inachunguza nyaraka za siri zilizopatikana katika ofisi ya Rais Bidden
Idara ya Haki ya Marekani inachunguza nyaraka za siri zinazodaiwa kupatikana katika ofisi ya zamani ya Rais Joe Biden huko Washington DC. ...Askari waonywa kushabikia vyama vya siasa
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo Nchini, Kamishina Msaidizi wa Polisi, ACP Simon Pasua amewataka askari wa Jeshi la ...