Siasa
Naibu Waziri: Hakuna chombo cha habari kilichofungiwa katika kipindi cha Rais Samia
Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew amesema katika kipindi cha miaka miwili cha Rais Samia Suluhu ...Rais Samia: Wafanyakazi wana mchango mkubwa kukua kwa uchumi wa Tanzania
Kufuatia pongezi zilizotolewa na Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani (IMF) kuipongeza Tanzania kwa kukua kwa uchumi pamoja na mipango ...Waziri wa Uganda auawa na mlinzi wake
Waziri wa Kazi, Ajira na Mahusiano ya Viwanda nchini Uganda, Kanali Mstaafu Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya leo ...Rais Samia: Mishahara ya watumishi itaongezwa kila mwaka
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imepanga kurudisha nyongeza za mishahara za kila mwaka kwa wafanyakazi utaratibu ambao ulikuwa umesimama kwa muda ...Serikali yatoa bilioni 230 za ujenzi wa miundombinu ya shule za msingi
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imepeleka kiasi cha shilingi bilioni 230 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati ...Sudan: Jenerali Hemedti akataa kufanya mazungumzo, atoa sharti
Mkuu wa kikosi cha usaidizi cha RSF, Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo, anayefahamika zaidi kama Hemedti amesema hatofanya mazungumzo mpaka mashambulio ya mabomu ...