Siasa
Rais aridhia wafanyabiashara wapya kutolipa kodi kwa muda wa hadi mwaka mmoja
Rais Samia Suluhu Hassan ameruhusu wafanyabiashara wanaoanza biashara kutolipa kodi kwa kipindi cha miezi sita hadi mwaka mmoja. Hayo yamesemwa na Waziri ...Mbowe: Serikali na CCM ziliwasaidia Wabunge 19, ni uhuni usiovumilika
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kitendo cha kupeleka wabunge 19 ndani ya bunge ambao hawakutokana na ...Rais Samia: Siwezi kutia mkono suala la Wabunge 19
Rais Samia Suluhu amesema Serikali imefanya ubunifu wa kuhakikisha taifa la Tanzania linaungana na kuwa na umoja kwa kuvifanya vyama vya siasa ...Lema apewa siku saba kuwaomba radhi bodaboda
Chama cha Waendesha Pikipiki na Wamiliki wa Pikipiki Tanzania (CHAMWAPITA) kimemtaka aliyewahi kuwa mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kufuta kauli yake ...Rais Samia akemea viongozi kusengenyana na kudharau wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi viongozi kuacha tabia za kudharauliana wenyewe kwa wenyewe na kuwadharau wananchi, badala yake wakafanye kazi kwa misingi ...Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca, suala la watoto laamuliwa
Ndoa ya wanasiasa machachari, David Kafulila na Jesca Kishoa imevunjwa rasmi na Kituo Jumuishi Huduma za Kimahakama, Mirithi na Ndoa baada ya ...