Siasa
Makamu Mwenyekiti wa TLP adai kushambuliwa na Katibu wake ofisini
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Dominata Rwechungura amedai kujeruhiwa baada ya kushambuliwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho, ...Waziri Kombo akazia matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia kwa nchi za Jumuiya ya Madola
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo amezitaka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola kuwa mstari ...Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia CHOGM
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo anamwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 49 ...Serikali: Asilimia 94.83 wamejiandikisha Daftari la Wapiga Kura
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa amesema Watanzania milioni 31,282,331 wamejiandikisha kwenye ...Serikali: Wananchi milioni 26.7 wamejiandikisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema jumla ya wapiga kura 26,769,995 wamejiandikisha kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za ...Polisi: Tunafuatilia mazingira ya kupotea kwa kiongozi wa CHADEMA
Jeshi la Polisi limesema linafuatilia taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ya kupotea kwa kiongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ...