Siasa
CHADEMA yatishia kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimegoma kushiriki chaguzi ndogo zitakazofanyika Desemba 17, mwaka huu huku ikitishia kususia uchaguzi wa Serikali za ...Kupanda na kushuka kwa Dkt. Bashiru Ally, kutoka uhadhiri, katibu mkuu hadi ubunge
Kwa siku chache zilizopita jina la Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa limegonga vichwa vya habari kutokana na kauli yake aliyoitoa juu ya ...Kampuni ya RAK GAS huenda ikapoteza 50% ya kitalu cha Pemba Zanzibar
Na Hamza Bavuai, Unguja Umebaki mwezi mmoja tu kabla kampuni ya mafuta na gesi kutoka Ras Al Khaima, RAK GAS, ipoteze 50% ...Jaji Warioba awashangaa wanaomshambulia Dkt. Bashiru, ataka wajadili hoja
Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema alichokisema Mbunge Dkt. Bashiru Ally hakikuwa na shida yoyote kwa kuwa alikuwa akitoa hoja yake, na kwamba ...Tuhuma za rushwa zapelekea chaguzi CCM kuahirishwa
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema chama hicho kimesitisha uchaguzi wa nafasi ya Mjumbe wa Halmshauri Kuu ya ...AFRIMMA yamtunuku Rais Samia Tuzo ya Uongozi Bora
Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Uongozi kwa mwaka 2022 inayotolewa na AFRIMMA kwa kutambua mchango wake katika kukuza tasnia ya ...