Siasa
Maagizo 8 ya Rais Samia akizungumza na mabalozi Zanzibar
Rais Samia Suluhu Hassan leo Novemba 19, 2022 amekutana na kufanya kikao na mabalozi mbalimbali wanaoiwakilisha Tanzania katika sehemu mbalimbali duniani, ambapo ...Tanzania yatoa maelekezo kwa Mabalozi wanaoiwakilisha nchi
Wawakilishi wa Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wameelekezwa kuanzisha, kushawishi na kufuatilia mikataba yenye manufaa katika nchi zao za uwakilishi badala ya ...Ripoti kamili ajali ya Precision Air kutolewa baada ya miezi 12
Kufuatia ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Novemba 6, 2022, leo Kikao cha Baraza la Mawaziri kikiongozwa na Mwenyekiti wake, Rais ...Rais Samia: Mgao wa maji Dar es Salaam utapungua
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na mradi wa maji uliozinduliwa Kigamboni, anatumaini mgao wa maji unakwenda kupungua katika jiji ...Mwigulu: Tanzania bado ipo uchumi wa kati
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba amekanusha takwimu zilizotolewa na Mbunge wa jimbo la Musoma Vijijini, Prof. Sospeter Muhongo zilizoonesha ...Bunge laahirisha kujadili muswada wa bima ya afya kwa wote
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson ametangaza kuahirishwa kwa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote kutokana na ...