Siasa
Tanzania na Afrika Kusini kuimarisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa wameeleza azma yao ya kuimarisha uhusiano uliopo wa kisiasa na kiuchumi ...Mtoto wa Rais Yoweri Museveni atangaza kugombea Urais 2026
Mkuu wa zamani wa Jeshi la Ardhini la Uganda na mtoto wa kiume wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba ...Marekani yatishia kupiga marufuku mtandao wa TikTok
Serikali ya Marekani imewataka wamiliki wa TikTok kutoka nchini China kuacha hisa zao katika programu hiyo maarufu ya video au vinginevyo watapigwa ...Rais Samia kushiriki mkutano wa pamoja kati ya Afrika Kusini na Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya Kiserikali nchini Afrika Kusini Machi 16, mwaka huu kwa mwaliko maalum kutoka kwa ...Rais aridhia wafanyabiashara wapya kutolipa kodi kwa muda wa hadi mwaka mmoja
Rais Samia Suluhu Hassan ameruhusu wafanyabiashara wanaoanza biashara kutolipa kodi kwa kipindi cha miezi sita hadi mwaka mmoja. Hayo yamesemwa na Waziri ...Mbowe: Serikali na CCM ziliwasaidia Wabunge 19, ni uhuni usiovumilika
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kitendo cha kupeleka wabunge 19 ndani ya bunge ambao hawakutokana na ...