Siasa
Rais Samia: Siwezi kutia mkono suala la Wabunge 19
Rais Samia Suluhu amesema Serikali imefanya ubunifu wa kuhakikisha taifa la Tanzania linaungana na kuwa na umoja kwa kuvifanya vyama vya siasa ...Lema apewa siku saba kuwaomba radhi bodaboda
Chama cha Waendesha Pikipiki na Wamiliki wa Pikipiki Tanzania (CHAMWAPITA) kimemtaka aliyewahi kuwa mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema kufuta kauli yake ...Rais Samia akemea viongozi kusengenyana na kudharau wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi viongozi kuacha tabia za kudharauliana wenyewe kwa wenyewe na kuwadharau wananchi, badala yake wakafanye kazi kwa misingi ...Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca, suala la watoto laamuliwa
Ndoa ya wanasiasa machachari, David Kafulila na Jesca Kishoa imevunjwa rasmi na Kituo Jumuishi Huduma za Kimahakama, Mirithi na Ndoa baada ya ...Rais Samia: Sifurahii kubadili viongozi, inachukua muda kuwajenga
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hulazimika kuwabadili viongozi mara kwa mara ili kuepusha madhara zaidi kwa Serikali na wananchi ambayo yangeweza kutokea. ...Dkt. Slaa: CHADEMA imekomaa kushika nchi
Kwa takribani miaka nane baada ya kuondoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na baadaye Balozi ...