Teknolojia
Kampuni ya xAI yaununua mtandao wa X
Mfanyabiashara Elon Musk amesema kampuni aliyoianzisha ya matumizi ya akili mnemba iitwayo xAI imeununua mtandao wa kijamii wa X [zamani Twitter]. Musk ...Mtambo wa mwisho Bwawa la Mwalimu Nyerere wakamilika
Mtambo wa tisa na wa mwisho katika mradi wa kuzalisha umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) tayari umekamilika na kukabidhiwa ...Vodacom Tanzania na dLab Wawezesha Wasichana Kupitia Programu ya CODE LIKE A GIRL
Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na dLab inaendelea kuwawezesha wasichana wenye umri wa miaka 14-18 kwa ujuzi wa STEM kupitia programu ya ‘Code ...Mramba: Biashara ya kuuziana umeme kutainufaisha Tanzania
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ametoa ufafanuzi zaidi kuhusu hatua ya Serikali kununua umeme nchini Ethiopitia kupitia nchini ...Tanzania kujenga kiwanda cha kutengeneza kompyuta mpakato kuimarisha Sekta ya TEHAMA
Tanzania imepanga kujenga kiwanda cha kutengeneza kompyuta mpakato, hatua inayotarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) nchini. ...Waziri Gwajima: Wasio na elimu ya uandaaji wa maudhui mtandaoni waache mara moja
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amekemea ongezeko la maudhui yasiyofaa yanayozalishwa na waandaji wa ...