Teknolojia
Mtambo wa mwisho Bwawa la Mwalimu Nyerere wakamilika
Mtambo wa tisa na wa mwisho katika mradi wa kuzalisha umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) tayari umekamilika na kukabidhiwa ...Vodacom Tanzania na dLab Wawezesha Wasichana Kupitia Programu ya CODE LIKE A GIRL
Vodacom Tanzania kwa kushirikiana na dLab inaendelea kuwawezesha wasichana wenye umri wa miaka 14-18 kwa ujuzi wa STEM kupitia programu ya ‘Code ...Mramba: Biashara ya kuuziana umeme kutainufaisha Tanzania
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ametoa ufafanuzi zaidi kuhusu hatua ya Serikali kununua umeme nchini Ethiopitia kupitia nchini ...Tanzania kujenga kiwanda cha kutengeneza kompyuta mpakato kuimarisha Sekta ya TEHAMA
Tanzania imepanga kujenga kiwanda cha kutengeneza kompyuta mpakato, hatua inayotarajiwa kuleta mapinduzi katika sekta ya teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) nchini. ...Waziri Gwajima: Wasio na elimu ya uandaaji wa maudhui mtandaoni waache mara moja
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amekemea ongezeko la maudhui yasiyofaa yanayozalishwa na waandaji wa ...Tanzania ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama mtandaoni
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza Afrika Mashariki, Kusini na Kati kwa usalama wa mtandaoni, kwa mujibu wa Ripoti ya Kielezo cha Usalama ...