Teknolojia
Facebook na Instagram kuanza kuwalipa watengeneza maudhui Kenya
Wabunifu wa maudhui nchini Kenya watapata pesa kutokana na machapisho yao kwenye majukwaa ya Meta kama vile Facebook na Instagram kuanziaJuni mwaka ...Hizi hapa bei za Redmi Note 13
Dar es Salaam. Kampuni ya Xiaomi inayojihusisha na utengenezaji wa vifaa vya kielektroniki zikiwemo simu za mkononi imetaja bei za simu zake ...Watumishi wa afya wapigwa marufuku kuchati kazini
Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Tumaini Nagu amewapiga marufuku watumishi wa afya katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini kuchati wakiwa ...Jinsi ya kujua ikiwa ‘link’ ya barua pepe si salama
Ulaghai kupitia barua pepe, unaojulikana kama ‘phishing,’ ni aina ya udanganyifu mtandaoni ambao wadukuzi hutumia kwa lengo la kupata taarifa binafsi kutoka ...Programu 5 zitakazokusaidia kupata simu yako iliyopotea
Kupoteza simu inaweza kuwa hali ya kufadhaisha haswa ikiwa ina taarifa nyeti au maelezo binafsi. Kwa bahati nzuri, kuna programu kadhaa zinazopatikana ...AfDB yatoa trilioni 1.7 kujenga SGR Tanzania-Burundi
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imeidhinisha dola milioni 696.41 ( TZS trilioni 1.74) za kufadhili Tanzania na Burundi kujenga reli ya ...