Uchumi
Uganda kukopa bilioni 500 kufidia kampuni ya umeme baada ya mkataba kumalizika
Bunge la Uganda limeidhinisha ombi la serikali la kukopa dola milioni 190 [TZS bilioni 502.5] kutoka Benki ya Stanbic ili kufidia kampuni ...Serikali: Mikopo ya bilioni 82 imetolewa kwa wanawake, vijana na walemavu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa, amesema katika mwaka wa Fedha 2024/25, ...Tanzania yapokea msaada wa bilioni 27 kutoka Japan kuboresha sekta ya Afya
Tanzania na Japan kupitia Shirika lake la Maendeleo (JICA), zimetiliana saini mkataba wa msaada wa Yen za Japan bilioni 1.527 [sawa na ...Benki ya Dunia: Rais Samia amekuwa chanzo Tanzania kuongezewa kiwango cha kukopa
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika, Dkt. Zarau Kibwe, amepongeza uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, akieleza kuwa ni ...Rais: Tumeanza kuifufua bandari ya Tanga ili vijana wapate ajira
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeanza kuuifufua bandari ya Tanga ili kuongeza uzalishaji wa ajira kwa vijana hususan kwa wakazi wa ...Nairobi kujenga masoko 20 ya kisasa ya mirungi
Serikali ya Kaunti ya Nairobi inajiandaa kujenga soko la miraa (mirungi) katika eneo la Ziwani, Kaunti Ndogo ya Starehe, baada ya kupata ...