Uchumi
Rais Samia: Ushirikishwaji sekta binafsi umeongeza mapato na ufanisi wa Bandari
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa uamuzi wa kuishirikisha sekta binafsi katika uendeshaji wa bandari umeongeza kwa kiasi kikubwa mapato ya Serikali ...MIF 2026 kujadili mikakati ya kufikia uchumi wa kati wa juu 2050
Dar es Salaam. Serikali imesema Mkutano wa Jukwaa la Wakurugenzi wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Kampuni ambazo Serikali ina hisa chache ...Benki Ya Exim Imetangaza Washindi wa Kampeni ya ‘Chanja Kijanja, Dili Ndio Hili’ na Kufanya ...
Benki ya Exim Tanzania imehitimisha rasmi kampeni yake ya ‘Chanja Kijanja, Dili Ndio Hili’kwa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi iliyofanyika katika ...BENKI YA STANBIC TANZANIA YAIMARISHA UWEZESHAJI KWA WACHIMBAJI MADINI KUPITIA HUDUMA ZAKE ZA KIFEDHA
Sekta ya madini inaendelea kuwa mhimili muhimu wa uchumi wa Tanzania, ikichangia takribani asilimia kumi ya pato la Taifa na kuunganisha maelfu ...Siku 100 za Rais Samia: Serikali yaweka historia ujenzi wa miundombinu
Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imekamilisha miradi 40 ya madaraja ya dharura kati ya 81, ikiwemo ...Kampuni 408 za Tanzania zapata usajili kusafirisha mazao ya kilimo China
Kampuni 408 za Tanzania zimepata usajili wa Mamlaka Kuu ya Forodha ya Jamhuri ya Watu wa China (GACC) jambo linaloziruhusu kusafirisha mazao ...








