Uchumi
Rais Samia: Serikali imejipanga kukuza sekta ya uvuvi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imejipanga kikamilifu kuchochea ukuaji wa sekta ya uvuvi kupitia mipango na programu mbalimbali ili kuongeza mchango ...Nchi 10 zenye hali bora ya chakula barani Afrika
Ongezeko la bei ya chakula limekuwa changamoto kubwa duniani, likiathiri watu binafsi, jamii na mataifa kwa njia tofauti, sababu zikiwa ni pamoja ...DP World yaongezewa mkataba upanuzi Bandari ya Maputo
Msumbiji imeidhinisha mkataba mpya kwa kampuni ya DP World Ltd. na Grindrod Ltd. kuendesha bandari yake kubwa huko Maputo hadi mwaka 2058, ...Bashe: Upungufu wa sukari nchini utaisha Machi 2024
Kutokana na kuwepo kwa upungufu wa sukari nchini, Serikali imeeleza kuwa mvua za El Nino zinazoendelea kunyesha zimeathiri mfumo mzima wa uvunaji ...Benki Kuu yatangaza riba elekezi kwa mikopo ya benki
Kamati ya Sera ya Fedha imetangaza Riba ya Benki Kuu kuwa asilimia 5.5 kwa robo ya kwanza ya mwaka huu ili kutimiza ...NMB yazindua Akaunti ya NMB Pesa, isiyokuwa na makato ya mwezi
Benki ya NMB imeanzisha kampeni kubwa ya kuhamasisha na kuwawezesha watu wengi kufungua akaunti ili waweze kunufaika na faida za kuwa sehemu ...