Uchumi
Ruto ataka nchi za Afrika Mashariki zipewa miaka 50 kulipa madeni
Rais wa Kenya, William Ruto amesema ipo haja ya kurekebisha sera zilizopo za ulipaji wa madeni ambazo amedai zinazorotesha mataifa ya Afrika ...Wafanyabiashara wa mafuta Kenya hali tete baada ya Uganda kuichagua Bandari ya Tanga
Wafanyabiashara wa mafuta nchini Kenya wako katika hali mbaya baada ya Uganda kusisitiza msimamo wake wa kuanza mazungumzo na Tanzania ili kuagiza ...Dkt. Mpango: Serikali inatarajia kupokea ndege mpya mbili
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema hivi karibuni Serikali inatarajia kupokea ndege mpya mbili aina ya Boeing 737 9 max na ...Serikali yatangaza kuwasajili madalali wa mazao
Serikali imesema imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kwa ajili kudhibiti wafanyabiashara wanaoenda kinyume na bei elekezi ikiwa ni pamoja na kuendesha operesheni ya ...Nchi 10 za Afrika zenye kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira mwaka 2024
Ukosefu wa ajira ni changamoto kubwa inayokabili uchumi wa bara la Afrika. Ingawa bara hili lina rasilimali nyingi za asili pamoja na ...AfDB: Uchumi wa Tanzania kuupita uchumi wa Kenya na Uganda
Uchumi wa Tanzania unatarajia kukua zaidi mwaka 2024 kupita uchumi wa Kenya na Uganda kwa mujibu wa ripoti ya Benki ya Maendeleo ...