Uchumi
Rais: Miradi ya ujenzi inayoendelea itaufungua Mkoa wa Tanga
Rais Samia Suluhu Hassan amesema barabara, madaraja na miradi mingine ya ujenzi inayoendelea mkoani Tanga, ina lengo la kuufungua Mkoa huo kiuchumi, ...Watu 26 kutoka LBL mbaroni kwa kujihusisha na biashara ya upatu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu 26 wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara haramu ya upatu mtandaoni bila kuwa ...Wafanyakazi wa Kenya Pipeline kwenda jela kwa wizi wa mafuta
Wafanyakazi wawili wa zamani wa Kampuni ya Kenya Pipeline (KPC) wamehukumiwa kulipa faini ya Ksh milioni 10 kila mmoja [TZS milioni 202.06] ...Kampuni ya Barrick yachangia mapato ya TZS trilioni 3.6 serikalini kwa miaka minne
Kampuni ya uchimbaji madini ya Dhahabu ya Barrick imechangia kiasi cha shilingi trilioni 3.6 katika mapato ya serikali kupitia kodi, mrabaha, na ...Bunge lapitisha sheria mpya, TISEZA kuchukua nafasi ya TIC na EPZA kuboresha uwekezaji
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Februari 13, 2025, limepitisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi, ...Serikali: Kubadili jina la kampuni haiathiri wala haihusiani na masuala ya kikodi
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb), amesema Serikali imechukua hatua madhubuti kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi unaosababishwa na mabadiliko ya majina ...