Uchumi
DP World yaongezewa mkataba upanuzi Bandari ya Maputo
Msumbiji imeidhinisha mkataba mpya kwa kampuni ya DP World Ltd. na Grindrod Ltd. kuendesha bandari yake kubwa huko Maputo hadi mwaka 2058, ...Bashe: Upungufu wa sukari nchini utaisha Machi 2024
Kutokana na kuwepo kwa upungufu wa sukari nchini, Serikali imeeleza kuwa mvua za El Nino zinazoendelea kunyesha zimeathiri mfumo mzima wa uvunaji ...Benki Kuu yatangaza riba elekezi kwa mikopo ya benki
Kamati ya Sera ya Fedha imetangaza Riba ya Benki Kuu kuwa asilimia 5.5 kwa robo ya kwanza ya mwaka huu ili kutimiza ...NMB yazindua Akaunti ya NMB Pesa, isiyokuwa na makato ya mwezi
Benki ya NMB imeanzisha kampeni kubwa ya kuhamasisha na kuwawezesha watu wengi kufungua akaunti ili waweze kunufaika na faida za kuwa sehemu ...Tanzania yasitisha safari za Shirika la Ndege la Kenya
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imetangaza kusitisha vibali vya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) kuendesha safari za abiria kati ...Watalii wa Kenya wakimbilia Tanzania baada ya ada ya kuingia Masai Mara kupandishwa
Seneta wa Narok nchini Kenya, Ledama Ole Kina, ameeleza nia yake ya kuwasilisha kesi mahakamani kupinga ongezeko jipya la ada ya kuingia ...