Uchumi
Mashirika 19 ya umma yaunganishwa na kubakia 7
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu amesema mchakato wa kuyafumua mashirika 19 ya umma umeanza na tayari uamuzi umefanyika wa kuyaunganisha mashirika hayo ...Uchumi wa Tanzania wakua kwa 5.2% robo ya pili ya 2023
Uchumi wa Tanzania umeonyesha kukua kwa asilimia 5.2 katika robo ya pili ya mwaka 2023, ishara inayoonesha ahueni baada ya athari za ...Mabilionea 10 wenye umri mdogo zaidi Afrika
Mabilionea barani Afrika wamekuwa kichocheo cha ukuaji wa uchumi na maendeleo katika bara hilo. Wanaleta motisha kwa wengine wakiwemo vijana ambao wana ...Benki ya Dunia yaipongeza Tanzania kwa jitihada za kuimarisha upatikanaji wa umeme
Benki ya Dunia (WB) imeipongeza Tanzania kwa kuchaguliwa na kuwa miongoni mwa nchi nne barani Afrika zilizoingizwa katika mradi wa Benki ya ...Sababu za Tanzania kuilipa kampuni ya Canada fidia ya bilioni 76
Tanzania imelipa dola milioni 30 (TZS bilioni 76.5) kwa Kampuni ya Canada ya Winshear Gold Corp ili kumaliza mgogoro wa uwekezaji na ...Tanzania kusajili uwekezaji wa trilioni 37 kutoka nje ifikapo 2025
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imejiwekea lengo la kupokea uwekezaji wa dola za Kimarekani bilioni 15 [TZS trilioni 37.58] kutoka nje ...