Uchumi
Serikali yapinga kuilipa kampuni ya Indiana Resources bilioni 260
Serikali imewasilisha pendekezo katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) la kufuta hukumu iliyotolewa Julai 14 mwaka huu ...Jinsi Bandari ya Dar es Salaam inavyoweza kuibadilisha Tanzania
Watu wa kawaida wanaofanya manunuzi Dar es Salaam watakuwa wamezoea hadithi hii: “Tafadhali mama nipe muda kidogo, mzigo wangu bado uko bandarini, ...Serikali yafafanua bilioni 31 zitakavyotumika ukarabati Uwanja wa Mkapa
Serikali imefafanua kuwa ukarabati wa shilingi bilioni 31 utakaofanyika kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa chini ya kampuni ya Beijing Construction Engineering Group ...Wawekezaji 10 wanaoongoza kwa mtaji mkubwa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)
Ripoti za kampuni zinaonesha kuwa watu kumi wana utajiri unaokadiriwa kuwa zaidi ya TZS bilioni 208 katika makampuni yaliyoorodheshwa kwenye Soko la ...TRA yatangaza mabadiliko ya viwango vya utozaji kodi ya majengo
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imetangaza mabadiliko ya Sheria ya Serikali za Mitaa ya ...Zambia na Falme za Kiarabu zasaini makubaliano ya uchimbaji madini
Zambia imesaini makubaliano kadhaa ya ushirikiano na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika hafla iliyofanyika Ikulu ya nchi hiyo na kuhudhuriwa ...