Uchumi
Dkt. Mpango: Sekta binafsi ni muhimu katika kuchochea maendeleo
Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amesema ushiriki wa sekta binafsi ni muhimu katika kukabiliana na upungufu wa fedha za maendeleo ili ...Madereva Kenya wakimbilia Tanzania kununua mafuta
Madereva kutoka nchini Kenya wanalazimika kukimbilia nchini Tanzania kununua mafuta ya petroli na dizeli kutokana na unafuu uliopo nchini ukilinganishwa na bei ...Zanzibar yakabidhi uendeshaji wa bandari kwa mwekezaji
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imekabidhi shughuli za uendeshaji wa Bandari ya Malindi kwa kampuni ya Kifaransa ya AGL kwa lengo la ...Nigeria: Gharama za maisha zapelekea wananchi kutumia magari yao kufanyia biashara
Kutokana na kuendelea kudorora kwa uchumi wa Nigeria, wananchi nchini humo wameendelea kubuni njia zitakazorahisisha upatikanaji wa pesa kwa kugeuza magari yao ...TIC: Thamani ya uwekezaji nchini yapanda kwa asilimia 120
Thamani ya uwekezaji nchini Tanzania imepanda kwa asilimia 120 ndani ya mwezi mmoja, huku sekta ya kilimo ikiendelea kuwa sekta inayovutia zaidi ...Nchi 10 za Afrika zenye bei ya Juu zaidi ya mafuta kwa Septemba
Tangu mwanzo wa mwaka huu, ulimwengu umekutana na changamoto za kiuchumi ambazo zina athari kubwa kwa wananchi wa kawaida. Viwango vya mabadiliko ...