Uchumi
Wafanyabiashara wa jengo lililoanguka Kariakoo wafungua kesi kudai fidia
Takriban Wafanyabiashara 50 wa ghorofa lililoanguka Kariakoo mwishoni mwa mwaka 2024 wamefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, jijini Dar es Salaam ...Trump: Nitakuwa mkarimu sana kwenye mazungumzo ya kibiashara na China
Donald Trump amesema anapanga kuwa mkarimu sana kwa China katika mazungumzo yoyote ya kibiashara, na kwamba ushuru wa forodha utapunguzwa endapo mataifa ...Tanzania kupata ufadhili wa TZS trilioni 1.2 kutoka IMF
Tanzania inatarajiwa kupata ufadhili wa takribani dola milioni 441 [TZS trilioni 1.2] kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) kufuatia makubaliano ya awali ...Dkt. Mwigulu: Fedha zisizotumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali
Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali ikiwa ni utaratibu wa kusimamia uwajibikaji na ...Dkt. Mwinyi awahimiza mabalozi kutangaza fursa za uwekezaji zilizopo nchini
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amewasisitiza mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali kuzingatia diplomasia ya ...Rais Mwinyi: Ziara ya Uingereza imekuwa na manufaa makubwa kwa Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi ameeleza kuwa ziara yake Uingereza imekuwa na manufaa makubwa kwa ...