Uchumi
Benki ya Dunia na AfDB zatenga Trilioni 102 kufanikisha umeme kwa watu milioni 300 Afrika
Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Benki ya Dunia zimetenga dola bilioni 40 za Kimarekani [TZS trilioni 102] ili kufikia lengo ...Ubia wa Barrick na Twiga umeingizia uchumi wa Tanzania TZS trilioni 10.1
Kampuni ya Dhahabu ya Barrick imeingiza zaidi ya shilingi trilioni 10.1 katika uchumi wa Tanzania tangu kuanzishwa kwa ubia wa Twiga kati ...Noti zenye saini ya Dkt. Mwigulu Nchemba kuingizwa kwenye mzunguko kuanzia Februari
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Emanuel Tutuba amesema noti mpya za Tanzania zenye saini ya Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ...Benki ya Dunia yapunguza makadirio ukuaji wa uchumi wa Kenya 2024
Benki ya Dunia imepunguza makadirio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya kwa mwaka 2024 hadi asilimia 4.7 kutoka asilimia 5.0 ya awali, ...Benki ya Dunia yaahidi kutoa zaidi ya bilioni 700 kusaidia Awamu ya tatu ya TASAF
Benki ya Dunia imeahidi kutoa kiasi cha takribani Dola za Marekani milioni 300 [TZS bilioni 786.3] kwa ajili ya kusaidia Awamu ya ...Wadukuzi wavamia mifumo ya Benki Kuu ya Uganda na kuiba mabilioni ya pesa
Wizara ya Fedha ya Uganda imethibitisha ripoti za vyombo vya habari kuhusu wadukuzi kuvamia mifumo ya Benki Kuu na kuiba fedha, lakini ...