Uchumi
Serikali yafafanua bilioni 31 zitakavyotumika ukarabati Uwanja wa Mkapa
Serikali imefafanua kuwa ukarabati wa shilingi bilioni 31 utakaofanyika kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa chini ya kampuni ya Beijing Construction Engineering Group ...Wawekezaji 10 wanaoongoza kwa mtaji mkubwa Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)
Ripoti za kampuni zinaonesha kuwa watu kumi wana utajiri unaokadiriwa kuwa zaidi ya TZS bilioni 208 katika makampuni yaliyoorodheshwa kwenye Soko la ...TRA yatangaza mabadiliko ya viwango vya utozaji kodi ya majengo
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imetangaza mabadiliko ya Sheria ya Serikali za Mitaa ya ...Zambia na Falme za Kiarabu zasaini makubaliano ya uchimbaji madini
Zambia imesaini makubaliano kadhaa ya ushirikiano na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika hafla iliyofanyika Ikulu ya nchi hiyo na kuhudhuriwa ...Afrika Kusini kubinafsisha shughuli za bandari kwa kampuni ya Ufilipino
Afrika Kusini inakusudia kubinafsisha shughuli za bandari katika mpango wa muda mrefu ili kuboresha shughuli na kuongeza ufanisi kutokana na bandari hizo ...UAE yaingia makubaliano na DR Congo katika uchimbaji wa madini
Ujumbe wa maafisa wa Umoja wa Falme za Kiarabu umesaini mkataba wa ushirikiano wenye thamani ya dola bilioni 1.9 [TZS trilioni 4.6] ...