Uchumi
Ndege za ATCL hatarini kukamatwa
Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) kimeiamuru Tanzania kulipa dola milioni 109.5 [TZS bilioni 266] kwa kampuni za ...India na UAE zaingia makubaliano ya kutumia fedha ya India katika biashara
India na Umoja wa Falme za Kiarabu wameingia makubaliano ambayo yanaruhusu biashara kati ya nchi hizo mbili kufanyika kwa kutumia sarafu ya ...EWURA: Nchi ina mafuta ya kutosha, yawaonya wanaoficha
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeutaarifu umma kuwa nchi ina mafuta ya kutosha katika maghala ya kuhifadhia ...Rais Samia: Nchi za jirani zinatamani fursa tuliyoipata
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amesisitiza kuwa wakati Tanzania inaendelea kujadili makubaliano ya bandari na kampuni kubwa ya Dubai, bandari pinzani katika ...Kenya, Angola na DRC zilivyoamua kutumia fursa ya wawekezaji wa kimataifa kujiinua kiuchumi
Uwekezaji katika nchi za Afrika umekuwa na umuhimu mkubwa katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikijitahidi ...Ndege ya Tanzania iliyokuwa imeshikiliwa Uholanzi yaachiwa
Ndege aina ya Airbus A220 ya Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) iliyokuwa ikishiliwa nchini Uholanzi imeachiwa na kurejea nchini. Hayo yameelezwa ...