Uchumi
Rais Samia amteua Mizengo Pinda kuongoza baraza la kumshauri kuhusu kilimo
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Kukuza Kilimo na Kuongeza Uzalishaji wa Chakula. ...Afrika Kusini kununua umeme kutoka Tanzania
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amesema Afrika Kusini inafikiria kununua umeme kutoka nchini Tanzania ili kusaidia katika kutatua tatizo la nishati ...Tanzania na Afrika Kusini kuimarisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi
Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa wameeleza azma yao ya kuimarisha uhusiano uliopo wa kisiasa na kiuchumi ...Ndege mpya ya mizigo kuwasili nchini muda wowote
Serikali imesema muda wowote kuanzia sasa ndege mpya ya mizigo inatarajiwa kuwasili nchini ikiwa ni kati ya ndege mpya tano zikiwemo za ...Serikali kujenga njia maalum kupanda Mlima Kilimamjaro
Serikali imesema inatarajia kujenga njia mpya ya kupanda Mlima Kilimanjaro kupitia Kidia ambayo itatumiwa na watalii maalum na wenye kipato kikubwa ili ...Rais Samia kushiriki mkutano wa pamoja kati ya Afrika Kusini na Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya Kiserikali nchini Afrika Kusini Machi 16, mwaka huu kwa mwaliko maalum kutoka kwa ...