Uchumi
China: Tumefanikiwa kwa juhudi zetu wenyewe
Rais wa China, Xi Jinping, amesema taifa lake limeendelea kwa zaidi ya miaka 70 kwa kutegemea juhudi zake binafsi na si msaada ...Tanzania na Angola kuimarisha ushirikiano katika biashara na uwekezaji
Serikali ya Tanzania imetangaza kuondoa masharti ya viza za utalii kwa raia wa Angola wanaotaka kutembelea nchi hiyo, hatua inayolenga kurahisisha safari, ...Trump atishia kuiongezea China ushuru mwingine wa asilimia 50
Rais wa Marekani, Donald Trump ametishia kuiwekea China ushuru wa ziada wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa Marekani ikiwa haitafuta ushuru wake ...Matajiri 10 duniani waliopata hasara kubwa kufuatia ushuru mpya wa Trump
Rais Donald Trump Jumatano ametangaza kuwa Marekani itaweka ushuru wa asilimia 10 kwa kila nchi duniani, huku viwango vya juu zaidi vikilenga ...Ushuru mpya wa Trump watikisa masoko ulimwenguni
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza ushuru mpya kwa bidhaa zote zinazoingia nchini humo, kiwango cha chini kikiwa asilimia 10, huku baadhi ...Mataifa 10 ya Afrika yanayotarajia kupokea msaada mkubwa kutoka Marekani 2025
Katika hatua ya kushangaza, mataifa mengi yanayopokea msaada wa kigeni, Rais wa Marekani, Donald Trump, alitangaza kusitisha ufadhili wa USAID kwa nchi ...